Friday, August 17, 2012

Faida za UFM redio kwa jamii ya Uvinza

2 comments
Jamii ya Wilaya mpya ya Uvinza itafaidika na mengi zaidi ya kusambazia ujumbe kwa ujio kwa redio ya jamii - Uvinza FM Community Radio (UFM) , zifuatavyo ni baadhi tu ya faida :-

  • UFM itawapa sauti wakazi wa Uvinza hasa wazee na kundi la watu wenye hali ya chini ambao hawawezi kufikia vyombo vingine vya habari kupitia malumbano na kubadilishana mawazo ili kutoa hoja mbali mbali kwa kutumia lugha wanayoifahamu.
  • Jamii yote kujihusisha na miradi ya maendeleo kwa faida ya wote
  • Kupata elimu za stadi za maisha, ujasiriamali na habari ya mambo yanayoendelea duniani kote
  • Kupata elimu ya afya na mazingira
  • Kupata elimu ya ujana kwa vijana wote na kudumisha mila na desturi
  • Burudani tofauti kuzingatia watu wa rika zote
Kwa ujumla UFM redio itakua kama chanjo ya itakayoweza kupunguza magonjwa yanayozuilika, jawabu rahisi la kufikia malengo ya maendeleo, kuilinda Uvinza yetu tete isimong'onyoke kabisa, kufurahia na kutukuza mila na desturi zetu wana kimalampamba, kwa hiyo basi tutasema bai bai kwa maadui watatu wakubwa - magonjwa, umaskini na ujinga!

PAMOJA TUNAWEZA kuifufua Uvinza yetu!

2 Responses so far.

  1. Anonymous says:

    Conglatulation guys for yur decision and effort to establish a community radio in that remote area, Uvinza. hope the community will be able to capture the benefit from listening UFM and zill use this radio as a tool to develop their communty and exercise their basic right like Freedom of Speech, Right to get information and Freedom of Expression, Right of getting entertainment as part of the Tanzania community.hence develop their own individual life and their families. Uvinza this an opportunitym just grab it. I volunteer to share various new and information from my end as part of my support to the radio. We can share a lot from West Africa
    Phil

  2. Unknown says:

    Thank you very much Phil for your wonderful comment, pat on tha back and offer to volunteer, UFM appreciate and hope to find many others sharing and support UFM efforts to revive Uvinza District, thank you again, will keep in touch!

Leave a Reply

Followers

 
Uvinza FM Community Radio © 2012 | Designed by Emmanuel Hilonga