Saturday, August 11, 2012

Jamii ya Wilaya mpya ya Uvinza kaeni mkao wa kula!

1 comments
Mambo mazuri yako jikoni yanakuja kwa manufaa ya kila mmoja Kimalampamba! Wana Uvinza jiandaeni kuona ujio mpya wa mipangilio mizima ya maendeleo na kufufua Uvinza yetu...!

One Response so far.

  1. Anonymous says:

    Tuko pamoja! Mazuri kwa Uvinza yetu yanawezekana! Hongera sana kwa juhudi

Leave a Reply

Followers

 
Uvinza FM Community Radio © 2012 | Designed by Emmanuel Hilonga